Data

/Habari

/Mwananchi

Dk Kafumu atahadharisha kuzuia mchanga kwenda nje

Kelvin Matandiko, Mwananchi [email protected] Dar es Salaam. Mbunge wa Igunga, Dk Dalaly Kafumu amesema uamuzi wa kupiga marufuku usafirishaji mchanga nje umekuwa wa haraka na unaweza kuipotezea nchi mapato. Pia, ameitaka Serikali kuacha… Read more

Nuzulack Dausen /3 April 2017

Mwananchi

Aibu: Riadha miaka 20 medali saba tu

Imani Makongoro, Mwananchi [email protected] Dar es Salaam. Kwa takriban miaka 20 sasa, Tanzania imekuwa ikisuasua katika riadha, licha ya Shirikisho la Riadha nchini (RT) kupeleka timu kwenye mashindano mbalimbali ya kimataifa ikiwemo Michezo ya… Read more

Nuzulack Dausen /29 March 2017

Biashara

/Data

/Habari

Bajeti ya maendeleo, serikali yatoa theluthi moja

Sharon Sauwa, Mwananchi [email protected] Dodoma. Miradi mingi ya maendeleo nchini huenda ikakwama kutokana na Serikali kutoa theluthi moja tu ya fedha zilizotengwa kwa ajili hiyo katika bajeti yake ya mwaka 2016/17. Kuchelewa kutolewa kwa… Read more

Nuzulack Dausen /29 March 2017

Mwananchi

Uhaba wa meli Ziwa Victoria warudisha nyuma maendeleo Kanda ya Ziwa

Peter Saramba, Mwananchi [email protected] Mwanza. Huduma za uchukuzi ndani ya Ziwa Victoria zinaendelea kuzorota mwaka hadi mwaka licha ya mahitaji ya kusafirisha abiria na mizigo kupaa. Wakati Bandari ya Kanda ya Ziwa inaanzishwa mwaka 2006,… Read more

Nuzulack Dausen /27 March 2017

Mwananchi

Mfumo mpya wa uuzaji korosho ulivyoleta pesa tele katikati ya malalamiko

Reginald Miruko, Mwananchi [email protected] Mtwara. Msimu wa korosho ulioshia Februari mwaka huu katika mikoa ya Lindi na Mtwara huenda ukawa ni msimu bora kuliko yote kwa wakulima baada ya mauzo yao kupaa kwa zaidi… Read more

Nuzulack Dausen /16 March 2017

MWANANCHIDataLab by Code for Tanzania